Mkutano wa Kamati ya Wataalam wa Mipaka kutoka nchi zinazopakana na Ziwa Tanganyika ukiwa na lengo la kujadiliana kuhusu masuala ya uhakiki wa mipaka katika Ziwa Tanganyika.
MKUTANO WA KAMATI YA WATAALAM KUTOKA TANZANIA KUJADILI KUHUSU MASUALA YA UHAKIKI WA MIPAKA KATIKA ZIWA TANGANYIKA
Mhe. Dkt. Jilly E. Maleko, Balozi wa Tanzania nchini Burundi akiwa na ujumbe wa wataalam kutoka Tanzania