News and Resources Change View → Listing

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA AZINDUA KLABU YA LUGHA YA KISWAHILI ITWAAYO BAHATI.

Tarehe 04 Julai, 2026. Mheshimiwa  Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania mchini Burundi  alitembelea Shule ya ECOLE DES ELITES CONTEMPORAINES ya Bujumbura lengo likiwa ni kuzindua Klabu ya…

Read More

“WINE TASTING FESTIVAL” YAFANYIKA JIJINI BUJUMBURA.

Tarehe 22 Mei, 2026 ilifanyika "Wine Tasting Festival" Eden Garden Resort mjini Bujumbura iliyoandaliwa na Ubalozi. Lengo la hafla hiyo  lilikuwa ni kuutangaza mvinyo wa Tanzania katika soko la…

Read More

MAONESHO YA BIASHARA YA PAMOJA KATI YA TANZANIA NA BURUNDI JOINT EXPO 2026 KUANZIA TAREHE 20 HADI 24 MEI, 2026 YAFANYIKA NCHINI BURUNDI.

Tarehe 21.5.2026 umefanyika ufunguzi wa Maonesho ya Biashara ya Pamoja, Burundi and Tanzania Joint Expo 2026 yaliyoandaliwa na Ubalozi.  Wafanyabiashara wa mikoa sita  kutoka Tanzania…

Read More

MHE. BALOZI AFANYA MKUTANO NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI BURUNDI (DIASPORA)

TAREHE 25 APRILI, 2026 MHE. GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI ALIFANYA MKUTANO NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI BURUNDI (DIASPORA) KWENYE OFISI YA UBALOZI.  KATIKA MKUTANO HUO, PAMOJA NA…

Read More

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA AFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA MKOA WA BUJUMBURA.

Tarehe 25 Mei, 2026, Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Meja, Jenero Aloys Ndayikengurukiye, Gavana wa Mkoa wa Bujumbura. Lengo la mazungumzo…

Read More

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA KILIMO NCHINI BURUNDI.

Tarehe 24 Machi, 2026 Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania chini Burundi amekutana na kufanya mazungumzo na  Mhe. Calinie Mbarushimana, Waziri wa Kilimo nchini Burundi. Mazungumzo hayo…

Read More

MABALOZI WA AFRIKA WANAOWAKILISHA NCHI ZAO NCHINI BURUNDI WAFANYA KIKAO CHA PAMOJA.

Tarehe 12 Machi, 2026 Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi alishiriki Kikao cha Mabalozi wa Afrika kilichofanyika katika Ubalozi wa Tanzania. Katika kikao hicho Mabalozi mbalimbali wa…

Read More

MHE. GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI AJUMUIKA KWA PAMOJA NA WANANCHI WA BUYENZI KUANGALIA MECHI YA SIMBA NA YANGA.

Tarehe 1 Machi, 2026 Mhe. Balozi Gelasius G. Byakanwa alijumuika  kwa pamoja kuangalia mpira kati ya simba ya Yanga na  wananchi wa maeneo ya Buyenzi uliokuwa unayonyeshwa kwenye televison kwenye…

Read More