News and Events Change View → Listing

MHE. BALOZI AFANYA MKUTANO NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI BURUNDI (DIASPORA)

TAREHE 25 APRILI, 2026 MHE. GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI ALIFANYA MKUTANO NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI BURUNDI (DIASPORA) KWENYE OFISI YA UBALOZI.  KATIKA MKUTANO HUO, PAMOJA NA…

Read More

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA AFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA MKOA WA BUJUMBURA.

Tarehe 25 Mei, 2026, Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Meja, Jenero Aloys Ndayikengurukiye, Gavana wa Mkoa wa Bujumbura. Lengo la mazungumzo…

Read More

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA KILIMO NCHINI BURUNDI.

Tarehe 24 Machi, 2026 Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania chini Burundi amekutana na kufanya mazungumzo na  Mhe. Calinie Mbarushimana, Waziri wa Kilimo nchini Burundi. Mazungumzo hayo…

Read More

MABALOZI WA AFRIKA WANAOWAKILISHA NCHI ZAO NCHINI BURUNDI WAFANYA KIKAO CHA PAMOJA.

Tarehe 12 Machi, 2026 Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi alishiriki Kikao cha Mabalozi wa Afrika kilichofanyika katika Ubalozi wa Tanzania. Katika kikao hicho Mabalozi mbalimbali wa…

Read More

MHE. GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI AJUMUIKA KWA PAMOJA NA WANANCHI WA BUYENZI KUANGALIA MECHI YA SIMBA NA YANGA.

Tarehe 1 Machi, 2026 Mhe. Balozi Gelasius G. Byakanwa alijumuika  kwa pamoja kuangalia mpira kati ya simba ya Yanga na  wananchi wa maeneo ya Buyenzi uliokuwa unayonyeshwa kwenye televison kwenye…

Read More

MHE.GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA CHEMBA YA BIASHARA NCHINI BURUNDI.

TAREHE 24 FEBRUARI, 2026 MHE. GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI ALIFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA CHEMBA YA BIASHARA  NCHINI BURUNDI, MHE. OLIVIER SUGURU KWENYE OFISI ZA UBALOZI.…

Read More

MHE. GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI AFANYA KIKAO NA WAZALISHAJI WA WINE WA MKOA WA DODOMA.

TAREHE 16 FEBRUARI, 2026 MHE. GELASIUS G. BYAKANWA ALIFANYA KIKAO NA WAZALISHAJI WA MVINYO(WINE)  WA MKOA WA DODOMA WA KAMPUNI YA ALKO VINTAGES. LENGO LA MKUTANO HUO NI KUWATAARIFU WAZALISHAJI HAO KUHUSU…

Read More

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA ALIANDAA HAFLA YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2026.

TAREHE 8 FEBRUARI, 2026 MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA , BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI ALIANDAA HAFLA YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2026  ILIYOFANYIKA KWENYE BUSTANI YA JARDEN LE PUBLIC, BUJUMBURA.…

Read More