Tarehe 23.10.2025 Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania nchini Burundi alifanya mazungumzo na Mhe. Balozi  Edouard Bizimana, Waziri  wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya  Burundi ambaye amechaguliwa hivi karibuni kwa lengo la kujitambulisha na walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.

  • Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi akiwa kwenye mazungumzo na  Mhe. Edouard Bizimana, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Burundi kwenye ofisi ya wizara hiyo.Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Edouard Bizimana, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Burundi kwenye ofisi ya wizara hiyo.
  • Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi akiwa kwenye picha ya pamoja na  Mhe. Edouard Bizimana, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Burundi na watendaji wengine wa wizara hiyo.Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi akiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe. Edouard Bizimana, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Burundi na watendaji wengine wa wizara hiyo.