Recent News and Updates

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA ALIANDAA HAFLA YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2026.

TAREHE 8 FEBRUARI, 2026 MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA , BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI ALIANDAA HAFLA YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2026  ILIYOFANYIKA KWENYE BUSTANI YA JARDEN LE PUBLIC, BUJUMBURA. KATIKA HAFLA HIYO… Read More

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA AKIWA KWENYE SHEREHE ZA UAPISHO MDOGO WA BARAZA LA MAWAZIRI.

MHE. BALOZI ALIHUDHURIA UAPISHO MDOGO WA BARAZA LA MAWAZIRI NCHINI BURUNDI.

Tarehe 23 Januari, 2026 Mhe. Evariste Ndayishimiye, Rais wa Jamhuri ya Burundi alifanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Mhe. Rais Ndayishiye amemteua  Bw. ALfred Haingejeje, Waziri wa Sheria Haki za Binadamu na… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Burundi

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Burundi