Recent News and Updates

UBALOZI UMEFANYA MAONESHO YA BIASHARA YA PAMOJA KATI YA TANZANIA NA BURUNDI JOINT EXPO 2026 KUANZIA TAREHE 20 HADI 24 MEI, 2026

Maonesho ya Biashara ya Pamoja (Joint Expo) kati ya Tanzania na Burundi yalifanyika kuanzia tarehe 20 hadi 24 Mei, 2026 kwenye Viwanja vya Intwari Bujumbura, Burundi.  Maonesho hayo yalijumuisha wajasiriamali themanini (80)… Read More

MHE. BALOZI AFANYA MKUTANO NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI BURUNDI (DIASPORA)

TAREHE 25 APRILI, 2026 MHE. GELASIUS G. BYAKANWA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI ALIFANYA MKUTANO NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI BURUNDI (DIASPORA) KWENYE OFISI YA UBALOZI.  KATIKA MKUTANO HUO, PAMOJA NA MAMBO MENGINE, MHE.… Read More

MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA AFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA MKOA WA BUJUMBURA.

Tarehe 25 Mei, 2026, Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Meja, Jenero Aloys Ndayikengurukiye, Gavana wa Mkoa wa Bujumbura. Lengo la mazungumzo hayo ni… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Burundi

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Burundi