Tarehe 1 Machi, 2026 Mhe. Balozi Gelasius G. Byakanwa alijumuika  kwa pamoja kuangalia mpira kati ya simba ya Yanga na  wananchi wa maeneo ya Buyenzi uliokuwa unayonyeshwa kwenye televison kwenye  vibanda maalum (vibanda umiza) ambavyo wananchi wengi wanakutana kwa ajili ya kuangalia mechi mbalimbali. Mechi hiyo ilikuwa inachezwa Zanzibar. Lengo la Mhe. Balozi kujumuika na wananchi hao ilikuwa ni sehemu ya Ubalozi katika kutekeleza Diplomasia ya Umma katika suala zima la michezo. Aidha, wakati anaangalia mechi hiyo alipigwa picha mbalimbali.

  • MHE. BALOZI GELASIUS G. BYAKANWA AKIFUATILIA KWA KARIBU MECHI YA SIMBA NA YANGA.
  • SIMBA NA YANGA WAKICHUANA.