MHE. BALOZI DKT. JILLY E. MALEKO AMEFANYA MKUTANO NA WAANDAAJI  WA SAFARI ZA WATALII NA WAANDISHI WA HABARI NCHINI BURUNDI TAREHE 01 SEPTEMBA, 2022 KWENYE OFISI ZA UBALOZI. LENGO LA MKUTANO HUO NI KUITANGAZA FILAMU YA ROYAL TOUR.

  • Pichani waandaaji wa safari za watalii pamoja na Waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano huo leo tarehe 01 Septemba, 2022 kwenye ofisi za Ubalozi.Pichani waandaaji wa safari za watalii pamoja na Waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano huo leo tarehe 01 Septemba, 2022 kwenye ofisi za Ubalozi.