Tarehe 24 Machi, 2022 Ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa CRDB Bank Tanzania/ Burundi wakiambatana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Burundi Dkt. Jilly E. Maleko, walimtembelea (“Courtesy call”) Mheshimiwa Alain – Guillaume Bunyoni , Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Burundi.
Bodi ya Wakurugenzi wa CRDB BANK Tanzania Ziarani Nchini Burundi
Pichani Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Burundi akiwa pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Burundi na Wajumbe wa Bodi, Ikulu Bujumbura.