Leo tarehe 30 Machi, 2024  Mhe. Anthony P. Mavunde, Waziri wa Madini wa Tanzania, amefanya maridhiano ya Makubaliano ya Utekelezaji wa MoU katika Sekta ya Madini na Mhe.  Ibrahim Uwizeye, Waziri wa Madini wa Burundi  yaliyoridhiwa jijini Bujumbura, Burundi.

  • Mhe. Anthony Mavunde, Waziri wa Madini wa Tanzania akiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe. Ibrahim Uwizeye, Waziri wa Madini wa Burundi mara baada ya kufanya maridhiano ya utekelezaji wa MoU katika Sekta Madini leo tarehe 30 Machi, 2024