Leo tarehe 30 Machi, 2024 Mhe. Anthony P. Mavunde, Waziri wa Madini wa Tanzania, amefanya maridhiano ya Makubaliano ya Utekelezaji wa MoU katika Sekta ya Madini na Mhe. Ibrahim Uwizeye, Waziri wa Madini wa Burundi yaliyoridhiwa jijini Bujumbura, Burundi.