Leo tarehe 9 .2.2024 Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania alimtembelea Katibu Mkuu wa Chama Tawala (CNDD-FDD), Mhe. Reverien Ndukuriyo ofisini kwake na kufanya mazungumzo naye ofisini kwake.
MHE. BALOZI GELASIUS G.BYAKANWA AMEMTEMBELEA MHE. KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA(CNDD-FDD).
Mhe. Gelasius G. Byakanwa, Balozi wa Tanzania nchini Burundi alimtembelea Katibu Mkuu wa Chama Tawala (CNDD-FDD), Mhe. Reverien Ndukuriyo ofisini kwake na kufanya mazungumzo naye, pia alimkabidhi zawadi zenye bidhaa za Tanzania ikiwa ni sehemu ya kutangaza bidhaa zetu tarehe 9 Februari, 2024.
